1 Corinthians 15:3-4

3 aKwa maana yale niliyopokea ndiyo niliyowapa ninyi, kama yenye umuhimu wa kwanza: Kwamba Kristo alikufa kwa ajili ya dhambi zetu, kama yasemavyo Maandiko, 4 bya kuwa alizikwa na alifufuliwa siku ya tatu, kama yasemavyo Maandiko,
Copyright information for SwhNEN